FC Barcelona wawekwa njia panda Copa del Rey Na Valencia Hispania.

Klabu ya Barcelona imewekwa katika wakati mgumu wa kufuzu katika hatua ya fainali ya Kombe la Mfalme nchini Hispania kwa kupata ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya wababe Valencia.


Katika mchezo wa marudiano Kunako dimba la Mestalla, Barcelona watahitaji goli au kuzuia wasifungwe hata goli moja dhidi ya Valencia ambao kwa msimu ni klabu ya pili ambayo imeruhusu magoli machache La Liga.

Goli pekee la Barcelona limefungwa  na Luis Suarez kunako dakika 67 ya mchezo.

Share on Google Plus

About Tiktak

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment