BONDIA MOHAMMAD ALI AFUNGIWA MIAKA MIWILI KWENYE NDONDI.

Bondia Muhammad Ali, raia wa uingereza amefungiwa kwa miaka miwili kujihusisha na mchezo wa masubwi baada ya kushindwa vipimo vya dawa zilizokatazwa michezoni.


Ali mwenye miaka 21, alishindwa kufaulu vipimo alipokua nashikiriki michezo ya dunia ya masubwi iliyofanyika nchini Morocco mwaka jana.

Bondia huyo alisimamishwa toka mwezi octoba mwaka jana na amefikia makubaliano ya kukubali adhabu hiyo na chama cha kimataifa cha mchezo wa ndondi. (AIBA).

Vipimo vinaonyesha bondia huyu amekuwa akitumia dawa aina ya Trenbolone, ambazo hutumika kukuza na kusisimua misuli na dawa hizo zimekatazwa michezoni na Wada.


Share on Google Plus

About Tiktak

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment