
Bondiamaarufu zaidi nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amerejea uraiani baada ya mahakama
kutengua kifungo chake cha miaka mitatu jela badala yake atatumikia
adhabu yake hiyo akiwa nje ya gereza.
adhabu yake hiyo akiwa nje ya gereza.
Cheka ameachiwa leo Jumanne baada ya kushinda rufaa yake aliyokata kupinga
kifungo cha miaka mitatu gerezani.
kifungo cha miaka mitatu gerezani.
Cheka alihukumiwa kwenda miaka mitatu jela na kulipa faini ya sh. milioni moja hukumu iliyosomwa na hakimu wa mahakama ya morogoro Saidi Msuya kwa kosa la kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda na tayari alianza kutumikia kifungo chake mjini Morogoro.
0 comments :
Post a Comment