TIMU YA SOKA YA MKOA WA MWANZA KWA U-15 YAKABIDHI KOMBE KWA MKUU WA MKOA WA MWANZA.


Mneja masoko wa Nyanza Botling Company Ltd Marco Masaka akifafanua jambo wakati wa hafla ya kukabidhi kombe kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza katika Dimba la Nyamagana  ambapo timu ya U-15 ya Mkoa wa Mwanza iliposhinda na kutwaa kombe la Copa-Cocacola.

Washindi wa michuano hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na mtangazaji wa KWA NEEMA FM RADIO Joel Maduka.



Mmiliki wa Blog hii Erasto Juma nikiwa nimeshika kombe la washindi tukifurahi pamoja.
Nikiwa nimeshika kombe la washindi wa kombe la COPA-COCACOLA timu ya Mwanza ya mabinti U-15.
Mwanza oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment