HIKI NDIYO KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOIVAA RUVU SHOOTING JIONI YA LEO

Klabu ya Simba leo inashuka katika dimba la uwanja wa Uhuru saa 10:00 jioni kusaka pointi 3 mbele ya klabu Ruvu Shooting kutoka mkoani Pwani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguuko wa 16.


Kocha mkuu wa Klabu hiyo, Pierre Lechantre amepanga kikosi cha kwanza kwa kuanza na nahodha John Bocco , Kapombe, Mzamiru , Kwasi , Mkude, Nyoni, Mlipili, Kichuya, Ndemla na Okwi huku  Kitandu, Mavugo na Kazimoto wakianzia benchi.

Share on Google Plus

About Tiktak

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment