GODWIN ATOKWA NA MENO BAADA YA KUMNG'ATA GOLIKIPA LA LIGA

Beki wa klabu ya Atletico Madrid, Diego Godin hapo jana siku ya Jumapili alijikuta akitokwa na meno baada ya kumng’ata golikipa wa Valencia katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania Laliga.


Klabu hiyo ya Atletico imetoa taarifa kuwa Godin amefikishwa katika hospitali ya meno jijini Madrid  kufuatia dhahama hiyo huku timu hiyo ikiibuka na ushindi wa bao 1 – 0 katika dimba la Wanda Metropolitano.


Baada ya tukio hilo ililazimika Godin afanyiwe mabadiliko haraka mapema mwa kipindi cha pili cha mchezo huo huku wakati tukio hilo likiwa limetokea wakati mlinda lango wa Valencia Neto akiokoa mpira wa hadhabu.
 
Share on Google Plus

About Tiktak

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment