Ahadi ya Lawrence Okolie ni kumzimisha Chamberlain usiku wa Jumamosi.

Kuelekea pambano la masumbwi hapo kesho siku ya Jumamosi, bondia Lawrence Okolie amemuonya mpinzani wake Isaac Chamberlain kuwa atarajie kupata maumivu makali kunako ulingo.


Lawrence Okolie na Isaac Chamberlain wanatarajiwa kuingia ulingoni usiku wa Jumamosi hii katika uwanja wa The O2 nchini Uingereza.

Kwa upande wake Chamberlain ameahidi ushindi kwa gharama yoyote dhidi ya bondia huyo hasiye pigika huku Okolie akisisitiza kumchakaza wikiendi hii.


 Pambano hilo linalo simamiwa na promota maarufu nchini Uingereza, Eddie Hearn’s Matchroom Boxing kwa kushirikiana na Anthony Joshua’s AJ BXNG unaweza kujipatia bei ya tiketi yako

Share on Google Plus

About Tiktak

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment