Seydou Keita, Mchezaji wa zamani wa
Barcelona, alipachika Bao hilo Dakika 6 kabla ya mpira kumalizika baada ya
Kipa wa Niger Daouda Kassaly kuuutema mpira wa krosi kutoka kwa Fousseiny Diawara.
Awali jana. Katika Mechi ya kwanza ya Kundi B, Ghana na Congo DR zilitoka sare ya Bao 2-2.
Ratiba leo:
Jumatatu Januari 21
[SAA 12 Jioni]
Zambia v Ethiopia
[SAA 3 Usiku]
Nigeria v Burkina Faso
0 comments :
Post a Comment