MAAMUZI BINAFSI YA MAHREZ KUHUSU KUREJEA MAZOEZINI LEICESTER CITY.

Riyad Mahrez anatarajiwa kurejea mazoezini hii leo siku ya Ijumaa ikiwa ni maamuzi yake binafsi na tayari kuisaidia Leicester City itakapo shuka dimbani kuivaa Manchester City siku ya Jumamosi.


Mchezaji huyo wa kimataifa wa Algeria hajafanya mazoezi na klabu hiyo tangu kufeli kwa uhamisho wake wa kujiunga na City wakati wa dirisha la usajili la mwezi Januari.

Meneja wa Leicester Claude Puel kupitia mkutano wake na waandishi wa habari hapo jana siku ya Alhamisi amesema kuwa Mahrez huwenda akaukosa mchezo huo ingawa bado haija fahamika rasmi.


Share on Google Plus

About Tiktak

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment