KULA NENEPA, KULA NENEPA!!!!!!!!!!!!!!!!!

 Huyu ni mjasiriamali anayefanya biashara yake Kona ya Bwiru Jijini Mwanza kama alivyokutwa na Paparazi wa mtandao huu  akinadi biashara yake ya matunda kwa mteja. 

                                                   Apple hizo ni shilingi ngapi kamanda?
                                   Utamu wa matundana kazi zake mwilini,kazi ni kwako!!!!!!!!!!!!!!!!

                           Karanga,Ubuyu na Bisi shilingi 100 tu
                                                 Mazingira ni uhai.
                Mama mjasiriamali akiuza karanga,ubuyu na bisi katika kituo cha daladala Ghana Jijini Mwnza
   Miche ya miti na maua ya  aina mbalimbali yanayooteshwa hapa Jijini mwanza katika eneo la Ghana
                                Panda mti kata mti na siyo kata mti panda.

                         Mawe ya urembo yanayopatikana Ghana jijini mwanza

                  Moja kati ya hoteli za Jijini mwanza kama inavyoonekana pichani.

                                       Nipeleke unifikishe kwetu.
                               Vipi unakwenda kona ya bwiru ilemela

























Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment